×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mswada wa kuwaondoa mawaziri wazua mgogoro bunge Kisumu

13th June, 2018

Mswada unaolenga kuwaondoa mawaziri wawili katika serikali ya kaunti ya Kisumu umeibua hisia mseto na kuzua mgogoro mkubwa katika bunge la kaunti hiyo.  Baadhi ya wawakilishi wadi wanasema mswada huo haufai kujadiliwa kwa sasa huku wengine wakitaka ujadiliwe. Inaelekea bunge la kaunti hiyo linabuni mbinu ya kuwapatanisha waakilishi hao kwa kuwapeleka katika ziara ya mafunzo nchini Rwanda.

.
RELATED VIDEOS