×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakazi wakabiliana na polisi wakiandamana kuhusu mauaji ya kutatanisha

13th June, 2018

shughuli za usafiri zilitatizwa katika barabara kuu ya Kitale –Eldoret baada ya jamaa na marafiki wa marehemu Henry Mwangi Mungai kufunga barabara ili kupaza sauti yao kwenye mauaji tatanishi ya Mungai na mkewe waliouawa kinyama Jummanne wiki iliyopita. Gari la kubeba maiti lilifungiwa kwenye mshikeshike huku polisi wakilazimika kutumia vitoa machozi.

.
RELATED VIDEOS