×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kilimo cha korosho kuzinduliwa upya katika kaunti za Kilifi, Lamu na Kwale

12th June, 2018

Wakulima wa korosho katika kaunti za Lamu, Kwale na Kilifi wamepata afueni baada ya mpango wa kuzindua kilimo cha korosho kuzinduliwa tena hii leo.Gavana wa Kilifi amason Kingi ameitaka serikali ya kitaifa kutambua korosho kama moja ya mimea ya kilimo biashara. Francis Mtalaki alihudhuria uzinduzi huo na kutuandalia taarifa ifuatayo.?Wakulima wa korosho katika kaunti za Lamu, Kwale na Kilifi wamepata afueni baada ya mpango wa kuzindua kilimo cha korosho kuzinduliwa tena hii leo.Gavana wa Kilifi amason Kingi ameitaka serikali ya kitaifa kutambua korosho kama moja ya mimea ya kilimo biashara. Francis Mtalaki alihudhuria uzinduzi huo na kutuandalia taarifa ifuatayo.?

.
RELATED VIDEOS