×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Hakutakuwa na udanganyifu wa miaka katika mbio za mchujo, AK yasisitiza

9th June, 2018

Chama cha riadha nchini kimeahidi kuwa hakutakuwa na udanganyifu wa miaka katika riadha za mchujo kutafuta kikosi kitakachoiwakilisha kenya kwenye mashindano ya dunia mwezi ujao nchini Finland. Mbio hizo za mchujo zitafanyika uwanjani Kasarani siku ya jumatatu na jumanne wiki ijayo.

.
RELATED VIDEOS