.
5th June, 2018
Maafisa wa polisi walisimamia ubomozi wa vibanda vilivyokuwepo nje ya shule hiyo ya Moi Girls katika mtaa wa Kibera katika njia ambayo wamesema ni kudumisha usalama kwa wanafunzi hao ubomozi huo hata hivyo haukuchukuliwa vyema na wenye biashara walioingia hasara kubwa . Msichana mmoja alibakwa ndani ya shule hiyo jambo ambalo limezua tetesi za usalama .