4th June, 2018
Wananchi katika kaunti ya Bungoma wametakiwa kuwa waangalifu wakati wananunua vinywaji haswa soda baada ya lori moja kukamatwa eneo la mpaka wa Kenya na Uganda eneo la Lwakhakha na bidhaa zilizokuwa zimepita muda wa matumizi huku wananchi wakiuziwa kwa bei nafuu.