.
22nd May, 2018
Kwa kawaida mwanafunzi yeyote wa chuo kikuu hutumia pesa za masurufu ili kujiburudisha wikendi na kuchangamsha nafsi katika maeneo ya burudani. Lakini kwa Philip Kiplagat Kemboi mwanafunzi wa chuo kikuu cha Eldoret hujitafutia karo kwa kuokoa miili na maiti iliyozama kwenye vidimbwi na hata kuruka maeneo hatari penye mamba na viboko hatari ili kutafuta karo