21st May, 2018
Maafisa wa polisi wanatakiwa kupewa mafunzo zaidi kuhusu usimamizi ili watekeleze majukumu yao rasmi kwa mpangilio maalum. Mwenyekiti wa halmashauri huru inayoshughulikia utendakazi wa polisi Macharia Njeru amesema hayo katika hafla maalum ya IPOA