.
19th May, 2018
Familia zilizoathirika huko Solai ambazo zimepiga kambi katika shule ya vijana ya Solai zimeamrishwa kuondoka ili kutoa nafasi kwa wanafunzi kutumia sehemu hiyo kwa masomo.Baadhi ya waathiriwa hao walichukizwa na hatua hiyo ya serikali na kusema kuwa ingetumia hekima na maarifa kuwaondoa. aidha shilingi elfu thelathini ambazo waathiriwa wanapewa kama fidia wanadai hazitoshi