.
19th May, 2018
Zaidi ya familia 300 zimepoteza makao huko Kuria mashariki katika kaunti ya Migori baada ya bwawa moja kuvunja kuta zake kutokana na mvua inayoendelea kunyesha katika sehemu mbalimbali nchini.Matukio kama hayo yameripotiwa katika sehemu mbalimbali nchini