×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Hatua ya Gavana wa Nairobi,Mike Sonko, kumpendekeza mwanasheria Miguna kuwa naibu wake,imepingwa

17th May, 2018

 Hatua ya gavana wa nairobi,Mike Sonko, kumpendekeza 
mwanasheria miguna miguna kuwa naibu wake, imepingwa 
vikali na uongozi wa bunge la kaunti ya nairobi. Spika 
beatrice elachi na kiongozi wa wengi kwenye bunge hilo, 
abdi guyo, wameapa kutomwidhinisha miguna miguna kuwa 
naibu wa gavana, kutokana na kile wanachokitaja kuwa 
gavana sonko kukiuka utarataibu na kanuni za uteuzi. 
.
RELATED VIDEOS