Hatua ya Gavana wa Nairobi,Mike Sonko, kumpendekeza mwanasheria Miguna kuwa naibu wake,imepingwa
17th May, 2018
Hatua ya gavana wa nairobi,Mike Sonko, kumpendekeza
mwanasheria miguna miguna kuwa naibu wake, imepingwa
vikali na uongozi wa bunge la kaunti ya nairobi. Spika
beatrice elachi na kiongozi wa wengi kwenye bunge hilo,
abdi guyo, wameapa kutomwidhinisha miguna miguna kuwa
naibu wa gavana, kutokana na kile wanachokitaja kuwa
gavana sonko kukiuka utarataibu na kanuni za uteuzi.