Serikali imeharibu shehena ya mchele na supagetti ghushi :Ktn Leo full bulletinSerikali imeharibu sh
16th May, 2018
Serikali imeharibu shehena ya mchele na supagetti
zinazoaminika kuingia nchini kinyume cha sheria. Konteina
hizo 10 ni kati ya 163 zilizotambuliwa kuharibiwa.francis
mtalaki na maelezo kutoka Mombasa