14th May, 2018
Sasa ni rasmi kuwa mali katika ndoa haitagawanywa nusu bin nusu bali kila mwanandoa atapata alichochangia kwenye ndoa hiyo.Haya ni kwa mujibu wa uamuzi uliofanywa na jaji John Mativo katika kesi iliyowasilishwa na muungano wa mawakili wanawake FIDA