.
13th May, 2018
Huku dunia ilipokuwa ikiadhimisha siku ya upanzi wa miti ,vita dhidi ya usafirishaji wa makaa katika kaunti ya kitui vilipata pigo baada ya magunia mia mbili ya makaa kunaswa yalipokuwa yakisafirishwa hadi nje ya mji wa mwingi .Akizungumza baada ya kisa hicho naibu wa gavana wa kaunti ya Kitui daktari Wathe Nzau amewashtumu maafisa wa polisi na maafisa wa kaunti hiyo kwa kukosa kuthibiti biashara hiyo nzau amesema kuwa juhudi zaidi zinafaa ili kuhakikisha kwamba hakuna maka yanayosafirishwa kupitia kaunti hiyo