13th May, 2018
Mwanamke mmoja kutoka kaunti ya Nandi anajionea fahari kutokana na bidii zake za mchwa ya kufanikisha ndoto ya mwanawe.Linah cheboskul mamake bingwa wa olimpiki Conseslus Kipruto alimpoteza mumewe wiki moja tu baada ya ndoa hivyo kumpa dhiki ya kuwalea wanawe.Halikadhalika talanta yake ya riadha ilikatizwa kutokana na kuozwa mapema lakini akampokeza Conselslus Kipruto mkoba wake.