.
13th May, 2018
Kizaazaa kilizuka katika hoteli ya Panafric hapa jijini Nairobi baada ya aliyekuwa mbunge wa kamukunji Simon Mbugua kuzuiliwa kuwahotubia wanahabari. Usimamizi wa hoteli hiyo umedai kwamba ulipata amri ya kumzuia Mbugua kutoka kwa polisi