.
13th May, 2018
Siku ya nne baada ya mkasa wa bwawa la Solai wakazi katika eneo hilo wangali wanawatafuta wapendwa wao ambao sasa wanadhania waliaga dunia .Hii ni bada ya shughuli za uokozi kupungua .Aidha shughuli za kibiashara katika eneo hilo hazijarejea huku huzuni ikiwa ingali imetanda kwa wakazi.