.
12th May, 2018
Matumaini ya wanafunzi wa vyuo vikuu vya serikali kurejelea masomo yao juma lijalo yamepata pigo baada ya baraza la kuangazia maslahi ya vyuo vikuu yani IPUCCF kukosa kuhudhuria kikao maalum kilichonuiya kujadili mapendekezo mapya ya kuafikia mwafaka kwenye mgomo wa wahadhiri unaoendelea nchini