12th May, 2018
Wahudumu katika hospitali kuu ya Garissa hivi leo wametoa huduma bila malipo kwa jamii ili kutibu magonjwa tofauti. Mbali na hayo wenyeji pia walitoa damu kusaidia akiba ya damu katika hospitali hiyo hasa wakati wa dharura
23rd April, 2024
Subscribe to our newsletter and stay updated on the latest developments and special offers!