12th May, 2018
Mbunge wa Rarieda Otiende Amollo alasiri ya leo alizirai alipokuwa akihudhuria hafla ya mazishi huko Alego Usonga kaunti ya Siaya. Inaarifiwa kuwa wakili huyo maarufu alikuwa katika mazishi ya mwanaye mbunge wa zamani Peter Oloo Aringo ambapo alikuwa akijiandaa kusoma rambirambi yake kwenye msiba huo. Alikimbizwa hadi hospitalki ya bondo alikofanyiwa hudma ya kwanza na kupata fahamu zake.