×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wafanyikazi wa kilimo wajitokeza kutoa kauli kuhusu tishio kwa Francis Atwoli

6th May, 2018

Muungano wa wafanyikazi wa kilimo umepaaza hisia zake kutoka na tishio la maisha ya katibu mkuu wa muungano wa wafanyikazi nchini Francis Atwoli. Wakizungumza mjini nakuru, viongozi wa muungano huo wamewaonya wanaopanga hila dhidi ya atwoli kuwaacha kwani mamilioni ya wafanyikazi nchini wanamuunga mkono huku wakitoa wito kwa vyombo vya usalama kumpa usalama wa kutosha na kuharakisha uchunguzi wao. 

.
RELATED VIDEOS