.
5th May, 2018
Katibu mkuu wa COTU Francis Atwoli sasa anadai kwamba maisha yake yamo hatarini .Atwoli amesema kwamba ameripoti kwa polisi kuhusu vitisho dhidi ya maisha yake lakini hakuweza kusadika kwa njia yoyote . Atwoli aliyazungumza haya mjini kisumu ambako pia aligusia haja ya katiba kufanyiwa marekebisho ili kuwajumuisha viongozi wote katika serikali mpya