.
5th May, 2018
Familia nne katika kaunti ya nyeri zinaomboleza jamaa zao waliofariki katika mashambulizi kwenye timbo kadhaa huko mandera siku ya alhamisi. Ni mashambulizi ambayo yamekemewa yakisemekena kuwa ni ya kigaidi, ila kwa mujibu wa baadhi ya wafanyikazi katika timbo hizo huenda ikawa ni mzozo wa kibiashara .