.
25th April, 2018
Chuo kikuu cha Daystar kimebuni jopo la kuchunguza
chanzo cha utata chuoni humo baada ya kufungwa kwake
hivi majuzi. Shadrack Mitty ana mengi kuhusu taarifa hii
inayojiri huku wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma vikisalia
kugoma