.
25th April, 2018
Kinara wa NASA Raila Odinga sasa anapendekeza mfumo wa
ngazi tatu za serikali unaonuia kujumuisha serikali kuu na
zile za kaunti. Akizungumza wakati wa kongamano la ugatuzi
linaloendelea mjini kakamega, Raila pia amependekeza
kujumuishwa upya kwa utawala wa mikoa kwa lengo la
kuimarisha na kugawa raslimali za kiuchumi. Amesema hii ndio
njia ya kupata suluhu ya kudumu kwa matatizo ya kimaeneo
yaliyotokana na ugatuzi