.
24th April, 2018
Athari za mvua inayoendelea kunyesha katika sehemu mbalimbali nchini imesababisha mafuriko huku maeneo mengi ya Ukambani, Narok, Nairobi na Kaskazini mwa Kenya yakiathirika zaidi.Katika kaunti ya Nairobi wakazi wa mitaa kadhaa sasa wamelazimika kujipanga upya kutokana na hasara ya mvua hiyo