Maafa zaidi yaendelea kushuhudiwa kufuatia athari ya mvua sehemu mbalimbali nchini
23rd April, 2018
Maafa zaidi yameendelea kushuhudiwa kufuatia athari ya mvua inayoendelea kunyesha sehemu mbalimbali nchini huku naibu kamishina wa kaunti eneo la Kitui akiponea kifo baada ya gari lake kusombwa na maji katika mto wa Enziu.