Rais Uhuru Kenyatta akana kuhusika kwa kampuni ya Cambridge Analytica katika uchaguzi wa 2017
21st April, 2018
Rais Uhuru Kenyatta amekana hadharani kwamba kampuni tata ya uingerea kwa jina Cambridge Analytica ilihusika kwenye kampeni za urais za mwaka jana .kenyatta alizungumza katika mahojiano na runinga ya CNN