.
21st April, 2018
Kiongozi wa ODM Raila Odinga amejitetea kuhusu kukutana kwake na walioonekana kama mahasimu wake wa kisiasa . Raila Odinga kufikia sasa amekutana na rais Uhuru Kenyatta na marais wastaafu Daniel Arap Moi na Mwai Kibaki.Raila amesema kuwa mapatano yake na rais kenyatta ni kuhakikisha kwamba kenya inasonga mbele kimaendeleo alikuwa akizungumza katika mazishi ya nduguye babake mzee Jaramogi Odinga,Oteke Alogo