19th April, 2018
Patashika ilishuhudiwa kati ya polisi, maafisa kutoka serikali
ya kaunti ya nairobi na wafugaji wa kimaasai, katika eneo la
Lang'ata kufuatia mzozo wa umiliki wa kipande cha ardhi,
katika eneo hilo. Zaidi ya familia mia tano za kimaasai zinadai
kumiliki ardhi hiyo