19th April, 2018
Familia moja katika eneo la Lurambi Kaunti ya Kakamega
meduwaa na kukosa la kufanya baada ya mwili wa jamaa
kuzuiliwa hospitalini kwa muda sasa. Mamake marehemu
ameelezea kusononeka na hali hiyo akitafuta faraja baada
ya kumpoteza mumewe na mwanawe mwingine miezi mitatu
Iliyopita