19th April, 2018
Serikali imesitisha kwa muda wa juma moja shughuli zozote
katika eneo la mwea linalokumbwa na utata, kufuatia kisa
cha hapo jana ambapo watu wanne walipigwa risasi na
kujeruhiwa. Kamati ya usalama kaunti ya embu
imesitisha shughuli kwenye eneo hilo lenye ekari elfu 44 na
kulitangaza kuwa eneo la kiusalama. mwenyekiti wa kamati
hiyo ambaye ni kamishna wa Kaunti hiyo esther maina