Familia moja eneo la Mikindani inadai haki baada ya jamaa yao kupatikana akiwa amebakwa hadi kufa
18th April, 2018
Tukisalia na tanzia ni kuwa katika kaunti ya Mombasa, familia
moja kutoka eneo la Mikindani inadai haki baada ya jamaa yao
kupatikana akiwa amebakwa hadi kufariki