Bumbuazi limewakumba wakazi wa eneo moja mtaani Donholm baada ya mama kuwanyonga wanawe wawili
18th April, 2018
Bumbuazi limewakumba wakazi wa eneo moja
mtaani Donholm baada ya mama kuwanyonga
wanawe wawili na kisha kujitoa uhai kwa kunywa
sumu mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 31
aliripotiwa kuwaua wanawe kabla ya kujiua, akiwacha barua
kwa mumewe kueleza kutoridhika kwake na uhusiano aliodai
alikuwa nao nje ya ndoa yao