.
17th April, 2018
Usafiri katika kituo cha matatu cha Mwembe Tayari umelemazwa baada ya madereva na kondakta kuandaa mgomo wakilalamikia hatua ya serikali ya kaunti ya Mombasa kuwafurusha katika eneo wanalohudumu.Kulingana na serikali ya kaunti mahala hapo ni hatari na wamewapa mahala mbadala