×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Madereva na kondakta wa kituo cha Mwembe Tayari,Mombasa waandamana

17th April, 2018

Usafiri katika kituo cha matatu cha Mwembe Tayari umelemazwa baada ya madereva na kondakta kuandaa mgomo wakilalamikia hatua ya serikali ya kaunti ya Mombasa kuwafurusha katika eneo wanalohudumu.Kulingana na serikali ya kaunti mahala hapo ni hatari na wamewapa mahala mbadala

 

.
RELATED VIDEOS