×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

KTN Leo: Uhaba wa maji katika bwawa la Ndakaini

17th April, 2018

Tukisalia kwenye taarifa za mvua na mafuriko ni kinaya kuwa wakaazi wa Nairobi wataendelea kushuhudia uhaba wa maji kufuatia upungufu wa mvua katika eneo la Aberdare eneo ambalo huzalisha maji kwa bwawa la Ndakaini. Bwawa la Ndakaini lililoko kaunti ya Murang'a hutegemewa zaidi kusambaza maji katika jiji la Nairobi

.
RELATED VIDEOS