×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Seneta Kipchumba Murkomen ajipata mashakani; ashutumiwa kwa kutoheshimu familia ya Rais mstaafu Moi

16th April, 2018

Seneta wa Elgeyo Marakwet Kipchumba Murkomen amejipata mashakani baada ya wanachama wa KANU na mbunge wa Moiben Silas Tiren kumshtumu kwa madai kwamba aliivunjia heshima familia ya rais mstaafu Daniel Arap Moi. Sasa wamemtaka Murkomen kuomba msamaha kwa kuingiza familia ya Moi kwenye maswala yasiyokuwa na misingi

.
RELATED VIDEOS