×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wabunge kutoka Jubilee na NASA waanzisha shinikizo za kutaka makamishna kuondoka IEBC

16th April, 2018

Wabunge kutoka mirengo ya Jubilee na NASA sasa wameanzisha shinikizo za kumtaka mwenyekiti wa tume ya IEBC Wafula Chebukati kujiondoa pamoja na makamishna wawili waliobaki.Wabunge hao wanasema sasa itabidi bunge la kitaifa kuanzisha mchakato wa kupata makamishena wapya kutokana na majukumu yanayoikabili tume hiyo

.
RELATED VIDEOS