.
16th April, 2018
Wabunge kutoka mirengo ya Jubilee na NASA sasa wameanzisha shinikizo za kumtaka mwenyekiti wa tume ya IEBC Wafula Chebukati kujiondoa pamoja na makamishna wawili waliobaki.Wabunge hao wanasema sasa itabidi bunge la kitaifa kuanzisha mchakato wa kupata makamishena wapya kutokana na majukumu yanayoikabili tume hiyo