.
16th April, 2018
Mzozo umeigubika tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC Huku migawanyiko ikidhihirika baada ya makamishna watatu Kujiuzulu mapema hii leo.Naibu mwenyekiti Consolata Maina Na makamishina Paul Kurgat na Margaret Mwachanya Wamesema hawana imani na uongozi wa Chebukati.Na kama Nicholas Wambua anavyoarifu tume hiyo sasa inasalia na Makamishina watatu kati ya saba