Mbwembwe zashuhudiwa wakati wa tamasha za mila na tamaduni za jamii ya Marakwet
15th April, 2018
Mbwembwe zilishuhudiwa wakati wa tamasha za mila na tamaduni za jamii ya marakwet zilizokamilika katika kaunti ya uasin gishu kwenye hafla iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kisiasa kutoka eneo hilo.