.
14th April, 2018
Gavana wa kaunti ya Nairobi Mike Mbuvi Sonko amewakashifu vikali wakosoaji wake wanaodai kwamba ameshindwa kulisimamia jiji la Nairobi. Gavana Sonko amesema kwamba usimamizi wa jiji unahitaji ushirikiano wa karibu wa wakaazi wa jiji, wadau na hata serikali ya taifa.