14th April, 2018
Zaidi ya familia 100 zimehamishwa kutoka eneo la ahero na ombeiyo kaunti ya kisumu baada ya mto wa Nyando kuvunja kingo zake .Maji hayo tametatiza usafiri katika eneo hilo .Msimamzii wa mipango maalum katika kaunti ya kisumu Ruth Odinga ameomba wafadhili kuwaletea misaada walioathitrika na mafuriko hayo