.
8th April, 2018
Seneta wa Baringo Gideon Moi amesema kuwa atafuata nyayo za babake katika kuafikia ndoto yake ya kuingia ikulu. akizungumza hapo jana wakati wa hafla ya kumkaribisha nyumbani mbunge wa Tiaty William Kamket, Moi ambaye pia ni mwenyekiti wa KANU amesema kwamba kwa sasa ataendelea kuwahudumia wakazi wa Baringo na siasa za mwaka 2022 zitakapofika atatangaza msimamo wake.