4th April, 2018
Yuko wapi kinara wa NASA Raila Odinga? Hilo ndilo suali ambalo wakenya wengi wamekuwa wakijiuliza huku waziri huyo mkuu wa zamani akikosa kuhudhuria mkutano kati yake na waziri wa ugatuzi Eugene Wamalwa pamoja na waakilishi wa baraza la magavana. Raila akituma taarifa kumkosoa waziri wa usalama Fred Matiang'i kuhusu mashambulizi yake dhidi ya mahakama.