Wenyeji wa eneo la Karai wavamia lori liloanguka na kujichukulia bidhaa mbalimbali
22nd March, 2018
Wasafiri waliokuwa wakitumia barabara ya Nairobi? Naivasha walishuhudia sinema ya bure baada ya waporaji kuvamia chakula cha mifugo kilichokuwa kimebebwa na lori lililohusika kwenye ajali katika eneo la Karai