.
21st March, 2018
Mahakama kuu imetupilia mbali uamuzi wa baraza la mtihani nchini kufutulia mbali matokeo ya KCSE katika shule ya upili ya Chebuyusi huko Kakamega. Jaji wa mahakama kuu, George Odunga, alisema baraza la mtihani nchini lilikosea katika kuyafutilia mbali matokeo ya watahiniwa mia moja na tisini, hivyo kulipa baraza hilo makataa ya siku kumi na nne kufanya uchunguzi upya. Shadrack Mitty anaarifu