.
20th March, 2018
Kwa muda wa wiki tatu sasa hospitali za eneo la Ijara katika kaunti ya Garissa zimekosa huduma za matibabu kufuatia kutoweka kwa wauguzi na madaktari kwa kile kinachotajwa kama hofu ya usalama wao . Eneo hilo limekumbwa na mashambulzii ya kundi la Alshabab katika siku za majuzi . Wakazi wanaomba seriali kuingilia kati ili wapate huduma za matibabu na elimu baada ya walimu nao kuondoka .