18th March, 2018
Naibu Rais William Ruto ameendeleza hoja ya kuwarai
wakaazi wa pwani kujiunga na serikali. Akihudhuria misa
katika kanisa la
st. Barnabas ACK mjini Voi kaunti taita taveta ruto ametoa
wito wa umoja na uwiano. Viongozi waliokuwa
wameandamana naye kutoka upande wa upinzani na serikali
wakisema watashirikiana kuunga mkono sera za maendeleo
za Jubilee.