.
15th March, 2018
Bingwa wa taifa wa mbio za nyika za kina dada Stacy Ndiwa amedai kwamba anamezea mate taji la Afrika la mbio za nyika kwenye mashindano ambayo yataandaliwa nchini Algeria. Ndiwa amedokeza kuwa anatarajia upinzani mkali kutoka kwa waKenya Sandrafelis Chebet na Celliphine Chespol