×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu walio na matatizo ya figo sasa wanatoa wito kwa serikali

13th March, 2018

Watu walio na matatizo ya figo sasa wanatoa wito kwa serikali kuwahusisha katika mpango wa hazina ya kitaifa ya bima ya matibabu nchini NHIF ili kuwarahisishia mzigo wa matibabu. Waathiriwa wa ugonjwa huo aidha wanaitaka serikali kupunguza gharama ya dawa wanazonunua baada ya kupitia hali hiyo. 

.
RELATED VIDEOS